Muhubiri 4:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Kisha nikaona mateso yote yanayofanyika chini ya jua. Watu wanaogandamizwa wanalia machozi, lakini hakuna mutu yeyote anayewafariji. Wagandamizaji wao wana nguvu, ndiyo sababu hakuna wa kuwafariji. Faic an caibideil |