Muhubiri 3:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200222 Basi, nikatambua kwamba hakuna jambo linalokuwa bora zaidi kwa mwanadamu kufanya kuliko kufurahia kazi yake, kwa sababu amepangiwa hivyo. Nani anayeweza kumujulisha mwanadamu yale yatakayokuwa kisha kufa kwake? Faic an caibideil |