Muhubiri 3:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 Ninajua kwamba jambo lolote Mungu analotenda linadumu milele. Hakuna kinachoweza kuongezwa wala kupunguzwa. Mungu amefanya mambo yakuwe hivyo kusudi wanadamu wamwogope yeye. Faic an caibideil |