Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Muhubiri 2:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Nikakuwa mukubwa, mukubwa kuwapita wote waliopata kuwa katika Yerusalema mbele yangu. Na hekima yangu ikakaa ndani yangu.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Muhubiri 2:9
8 Iomraidhean Croise  

Mufalme Solomono aliwapita wafalme wote katika dunia kwa mali na hekima.


Lakini sikuweza kuamini habari hizo mpaka nilipofika na kujionea mwenyewe. Kumbe sikuambiwa hata nusu yake; hekima yako na fanaka zako vimepita habari nilizopewa.


basi, sasa ninakutimizia kama ulivyoomba. Ninakupa hekima na akili kwa kipimo ambacho hakuna mutu mwingine aliyepata kuwa nacho mbele yako, na wala hakutatokea mwingine kama wewe nyuma yako.


Yawe akamupa Solomono sifa nzuri mbele ya Waisraeli wote, akamupa utukufu wa kifalme unaopita utukufu wa mufalme yeyote aliyeitawala inchi ya Israeli mbele yake.


Solomono, mwana wa mufalme Daudi, alijiimarisha katika utawala wake, naye Yawe, Mungu wake akamubariki na kumufanya akuwe mukubwa sana.


Basi, nikafikiri nikisema: “Nimejipatia hekima nyingi zaidi kupita wote waliopata kutawala Yerusalema mbele yangu. Kweli, ninajua hekima na maarifa ni nini.”


Usingizi wa mutumishi ni mutamu, akuwe ameshiba au amekula kidogo tu. Lakini usingizi wa tajiri ni wa wasiwasi siku zote, maana mali yake inamuzuia kupata usingizi.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan