Muhubiri 2:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Nilijichimbia visima vya maji ya kumwangilia ile miti. Faic an caibideil |
Mulango wa Chemichemi ukajengwa upya na Salumu mwana wa Koli-Hoze, mukubwa wa wilaya ya Misipa. Akaufunika, akauweka mulango kwa nafasi yake, akatia vyuma na vifungio vyake. Kwenye Kisima cha Sela akajenga ukuta unaokuwa karibu na bustani ya kifalme mpaka kwenye ngazi zinazoshuka toka muji wa mufalme Daudi.