Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Muhubiri 2:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Nilijichimbia visima vya maji ya kumwangilia ile miti.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Muhubiri 2:6
7 Iomraidhean Croise  

Halafu, nikaenda kwenye Mulango wa Chemichemi na kwenye Ziwa la Mufalme. Lakini yule punda niliyepanda juu yake hakuweza kupita.


Vilevile ninakuomba kwamba barua ingine iandikwe kwa Asafu mulinzi wa pori la kifalme kusudi anipatie mbao za kutengeneza miimo ya milango ya munara wa hekalu, ukuta wa muji na nyumba yangu nitakamokaa.” Mufalme akakubali ombi langu kwa kuwa Mungu, kwa wema wake, alikuwa pamoja nami.


Mulango wa Chemichemi ukajengwa upya na Salumu mwana wa Koli-Hoze, mukubwa wa wilaya ya Misipa. Akaufunika, akauweka mulango kwa nafasi yake, akatia vyuma na vifungio vyake. Kwenye Kisima cha Sela akajenga ukuta unaokuwa karibu na bustani ya kifalme mpaka kwenye ngazi zinazoshuka toka muji wa mufalme Daudi.


Sehemu inayofuata mpaka kwenye makaburi ya Daudi, kisima na majengo ya waaskari ikajengwa upya na Nehemia mwana wa Aibuki, mukubwa wa nusu ya wilaya ya Beti-Suri.


Huyo ni kama muti uliopandwa kando ya vijito, unaozaa matunda kwa wakati wake, na majani yake hayanyauki hata kidogo. Anafanikiwa katika yote anayofanya.


Maziba yako ni kama paa mapacha, ni kama swala wawili.


Huyo ni kama muti uliopandwa kando ya maji, unaopenyeza mizizi yake karibu na chemichemi. Hauogopi wakati wa jua kali, majani yake yanabaki mabichi. Hauhangaiki katika mwaka wa ukosefu wa mvua, nao haukosi kuzaa matunda.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan