Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Muhubiri 2:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Nilifanya mambo makubwa: nilijenga nyumba na kujilimia mashamba ya mizabibu.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Muhubiri 2:4
17 Iomraidhean Croise  

Wakasema: “Tujijengee muji na munara ambao chongo yake itafika mbinguni kusudi tujipatie sifa, kusudi tusisambazwe katika dunia yote.”


Abusaloma, alipokuwa angali anaishi, alikuwa amejijengea na kujisimikia nguzo inayokuwa kwenye Bonde la Mufalme, maana alisema: “Mimi sina mutoto mwanaume wa kudumisha jina langu kusudi nikumbukwe.” Nguzo hiyo aliipa jina lake, na inaitwa “Nguzo ya Abusaloma” mpaka leo.


“Tufanye mapatano ya ushirikiano kati yangu na wewe kama vile baba yangu na baba yako walivyofanya. Angalia, nimekutumia zawadi ya feza na zahabu; kwenda uvunje mapatano ya ushirikiano unaokuwa kati yako na mufalme Basha wa Israeli, kusudi aache mashambulizi juu yangu.”


Mufalme Solomono alipomaliza kujenga nyumba ya Yawe na nyumba ya kifalme na majengo mengine yote aliyokusudia kujenga,


Hata katika jangwa vilevile alijenga minara, akachimba visima vingi, maana alikuwa na makundi mengi ya nyama kwenye sehemu za miinuko na mabonde. Alikuwa na walimaji na watunza mizabibu kwenye milima, na katika inchi yenye mboleo maana alipenda mulimo.


Solomono alimuhamisha binti wa mufalme wa Misri, kutoka muji wa Daudi, akamupeleka kwenye nyumba aliyomujengea. Akasema: “Muke wangu hataishi katika nyumba ya Daudi mufalme wa Israeli, kwa maana pahali pote ambapo sanduku la Yawe limekuwa, ni patakatifu.”


Inaonekana wazi kuwa hata wenye hekima wanakufa, nao wapumbafu na wajinga vilevile. Wote wanawaachia wengine mali zao.


Mupenzi wangu ni kama maua ya hina yanayochanua kwenye mashamba ya mizabibu kule Engedi.


Kuja, ewe mupenzi wangu, tuende katika mashamba, tuende tulale kule katika vijiji.


Nitaimba juu ya rafiki yangu, wimbo wa rafiki yangu na shamba lake la mizabibu: Rafiki yangu alikuwa na shamba la mizabibu juu ya kilima chenye udongo muzuri.


Mara moja jambo hilo juu ya mufalme Nebukadneza likatimizwa. Alifukuzwa mbali na wanadamu, akakuwa anakula majani kama ngombe. Alilowanishwa na umande wa mbinguni, na nywele zake zikakuwa ndefu kama manyoya ya tai, na kucha zake kama za ndege.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan