Muhubiri 2:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 Nilitafuta kwa hekima namna ya kujichangamusha mwili kwa divai na kutenda sawa na wapumbafu. Nilitaka kuona kitu gani ni kizuri kwa wanadamu kufanya wanapoishi maisha yao mafupi hapa chini ya mbingu. Faic an caibideil |