Muhubiri 2:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200226 Mungu anamujalia mutu anayependezwa naye hekima, akili na furaha; lakini anamupa mwenye zambi kazi ya kuvuna na kulundika, kisha Mungu anavipatia yule anayemupendeza. Hayo nayo ni bure sawa na kutaka kukamata upepo. Faic an caibideil |