12 Zaidi ya hayo, mwana wangu, ujilinde! Kuandika vitabu hakuna mwisho na kusoma kwingi kunachokesha mwili.
Maana katika kuwa na hekima nyingi kuna wasiwasi; na anayeongeza maarifa zaidi anaongeza huzuni zaidi.
Lakini hii imeandikwa kusudi mupate kuamini kwamba Yesu ni Kristo, Mwana wa Mungu, na kwa kumwamini mupate uzima katika jina lake.
Kuna mambo mengine mengi Yesu aliyofanya. Lakini yote yangeandikwa moja kwa moja, ninazani hata dunia nzima haingetosha kwa kuwekea vitabu ambavyo vingeandikwa.
Munachunguza Maandiko Matakatifu, kwa maana munazani kuwa ndani yao mutapata uzima wa milele. Maandiko hayo ndiyo yanayonishuhudia,