Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Muhubiri 12:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Muhubiri alijikaza kupata maneno ya kupendeza, akaandika kwa usawa maneno ya kweli.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Muhubiri 12:10
14 Iomraidhean Croise  

Midomo ya wenye haki inajua mambo yatakayokubaliwa, lakini vinywa vya waovu vinasema tu maovu.


Kutoa jibu zuri kunafurahisha; neno linalofaa kwa wakati wake ni jema sana!


Mawazo ya mwovu ni chukizo kwa Yawe, lakini maneno mema yanamufurahisha.


Maneno haya ni ya Muhubiri mwana wa Daudi, aliyekuwa mufalme kule Yerusalema.


Mimi Muhubiri, nilikuwa mufalme wa Israeli, kule Yerusalema.


Kweli, kweli ninakuambia: tunasema maneno tunayojua na kushuhudia maneno tuliyoona, lakini ninyi hamutaki kupokea ushuhuda wetu.


Imani yenu na upendo wenu vinakuwa na musingi katika tumaini mulilowekewa mbinguni. Mulisikia juu ya tumaini lile mara ya kwanza wakati mulipohubiriwa ujumbe wa ukweli ni kusema Habari Njema.


Neno hili ni la kuaminiwa nalo linastahili kukubaliwa kabisa: Kristo Yesu alikuja katika dunia kwa kuokoa wenye zambi. Na mimi ni wa kwanza mwenye zambi kati yao,


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan