6 wapumbafu wanapewa kazi za madaraka ya juu, na watajiri wanakamata nafasi za mwisho.
Nyuma ya mambo hayo, mufalme Ahasuero akamupandisha Hamani cheo, akakuwa waziri mukubwa. Hamani alikuwa mwana wa Hamedata wa uzao wa Agagi.
Hamani akawaka hasira alipojua kwamba Mordekayi hainami wala kupiga magoti mbele yake.
Utulinde, ee Yawe, utukinge siku zote na kizazi hiki kiovu.
Haifai kwa mupumbafu kuishi kwa raha; tena ni vibaya zaidi mutumwa kuwatawala wakubwa.
Watu wa haki wakipata madaraka, kuna utukufu mukubwa. Lakini waovu wakitawala, watu wanajificha.
Waovu wakitawala, watu wanajificha. Lakini wakiangamia, wenye haki wanaongezeka.
Wenye haki wakiongozeka, watu wanafurahi. Lakini waovu wakitawala, watu wanalalamika.
Kuna uovu niliotambua hapa chini ya jua, uovu unaosababishwa na watawala: