Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Muhubiri 10:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Mupumbafu anachokeshwa kwa kutoa jasho, hata hajui njia ya kwenda katika muji.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Muhubiri 10:15
14 Iomraidhean Croise  

Wamoja walitangatanga katika jangwa tupu, hawakuweza kufikia katika muji wa kukaa.


Aliwaongoza katika njia iliyonyooka, mpaka wakafika katika muji wa kukaa.


Nguvu nyingi zaidi zinahitajika kwa mutumiaji wa shoka lisilonolewa, lakini kutumia hekima kunamufanya mutu afanikiwe.


Mupumbafu anasema maneno mengi. Mwanadamu hajui yatakayokuwa, wala yale yatakayotukia nyuma yake.


Ole wako, ewe inchi, mutawala wako akiwa kijana, na viongozi wako wakifanya karamu asubui.


Hata anapopita katika njia, anakosa akili, anamwambia kila mutu kwamba yeye ni mupumbafu.


Mbona munatumia feza zenu kwa ajili ya kitu kisichokuwa chakula? Kwa nini kutoa jasho lenu kwa kitu kisichoshibisha? Munisikilize mimi kwa uangalifu, nanyi mutakula vinavyokuwa vitamu, na kufurahia vinavyokuwa bora.


Mutu wa haki akikufa, hakuna mutu anayejali; mutu mwema akihamishwa toka dunia, hakuna mutu anayefikiri na kusema: Mutu huyo mwema amehamishwa kusudi asipatwe na hasara,


Kila mutu atamuchekelea mutu wa namna hiyo na kumutungia misemo ya kitambi: Ole wako unayejilundikia visivyokuwa vyako, na kutwaa rehani mali za watu lakini haulipi! Utaendelea kufanya hivyo mpaka wakati gani?


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan