Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Muhubiri 10:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Mupumbafu anasema maneno mengi. Mwanadamu hajui yatakayokuwa, wala yale yatakayotukia nyuma yake.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Muhubiri 10:14
13 Iomraidhean Croise  

Anaongeza uasi juu ya zambi zake; anaeneza mashaka kati yetu, na kuzidisha maneno yake juu ya Mungu.


Yobu anafungua kinywa kusema maneno matupu, anazidisha maneno bila akili.


Kwenye kuwa maneno mengi hakukosekani makosa, lakini aneyezuia ulimi wake ana akili.


Ulimi wa mwenye hekima unaeneza maarifa, lakini watu wapumbafu wanamwanga maneno ya ujinga.


Mupumbafu anachokeshwa kwa kutoa jasho, hata hajui njia ya kwenda katika muji.


Basi, nikatambua kwamba hakuna jambo linalokuwa bora zaidi kwa mwanadamu kufanya kuliko kufurahia kazi yake, kwa sababu amepangiwa hivyo. Nani anayeweza kumujulisha mwanadamu yale yatakayokuwa kisha kufa kwake?


Ukimutolea Mungu ahadi, usikawie kuitimiza. Mungu hapendezwi na wapumbafu. Timiza kile ulichoahidi.


Nani anayejua yanayofaa kwa mutu katika maisha haya mafupi yasiyokuwa na faida, maisha ambayo yanapita kama kivuli? Nani anayejua yale yatakayotukia chini ya jua nyuma ya kufa kwake?


Katika siku za kufanikiwa ukuwe na furaha. Katika siku za hasara ufikiri juu ya jambo hili: Mungu amefanya hiyo ya kwanza iambatane na ya pili kusudi mwanadamu asipate kujua mambo yatakayotukia nyuma yake.


Hajui ni kitu gani kitakachotukia nyuma, maana ni nani anayeweza kumujulisha yatakayotukia nyuma?


Nilifikiri sana juu ya hayo yote, nikaona kwamba Mungu anaongoza matendo ya watu wenye hekima na wenye haki; ikiwa ni upendo au chuki, mwanadamu hajui. Kila kitu kwao ni bure,


Nimesikia jinsi unavyojivuna na kusema maneno mengi juu yangu.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan