Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Muhubiri 10:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Mupumbafu anaanza kusema kwa maneno ya kijinga, na kumaliza masemi yake kwa wazimu wa hatari.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Muhubiri 10:13
25 Iomraidhean Croise  

Mufalme aliendelea mpaka Gileadi. Kimuhamu akakuwa anafuatana naye. Watu wote wa Yuda na nusu ya watu wa Israeli walikuwa wakimusindikiza mufalme.


Mufalme akamwambia: “Yawe asipokusaidia, mimi nitaweza kukupa musaada kutoka wapi? Kutoka katika kiwanja cha kupepetea ngano au kutoka katika kikamulio?


Naye akasema: “Mungu aniue Elisha mwana wa Safati asipokatwa kichwa leo!”


Mwenye akili anatenda kila kitu kwa kufikiri, lakini mupumbafu anatembeza upumbafu wake.


Mwenye hekima akibishana na mupumbafu, akasirike au acheke, ni mamoja; hatatulia.


Mupumbafu anasema maneno mengi. Mwanadamu hajui yatakayokuwa, wala yale yatakayotukia nyuma yake.


Kadiri mutu anavyohangaika zaidi, ndivyo atakavyoota ndoto; sauti ya mupumbafu ni maneno mengi.


Hata hivyo, nilikusudia kujua na kuchunguza na kutafuta hekima na maana ya mambo yanayokuwa, na vilevile kujua kwamba uovu ni upumbafu na kwamba upumbafu ni wazimu.


Herode alipoona kwamba wale watu wenye elimu wamemudanganya, akakasirika sana. Akatuma watu Betelehemu na popote kandokando yake kwa kuua watoto wote waliokuwa na umri wa miaka miwili na chini yake. Alifanya vile kufuatana na jinsi alivyohakikishwa na wale wenye elimu juu ya wakati nyota ilipotokea.


Mufarisayo yule akashangaa alipoona kwamba Yesu hakunawa mikono mbele ya kula.


Lakini wale wakubwa wakakasirika sana, wakaanza kusemezana wao kwa wao juu ya namna watakavyomutendea Yesu.


Wamoja kati ya Wafarisayo wakawauliza: “Sababu gani munafanya mambo yanayokatazwa kufanya kwa siku ya Sabato?”


Basi wakubwa wa makuhani wakakata shauri la kumwua Lazaro vilevile,


Basi siku ya ine wakamwambia muke wa Samusoni: “Umubembeleze mume wako kusudi atuambie maana ya kitendawili hicho, kama sivyo tutakuteketeza kwa moto wewe pamoja na nyumba ya baba yako. Ninyi mulitualika hapa kutunyanganya mali zetu?”


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan