12 Mimi Muhubiri, nilikuwa mufalme wa Israeli, kule Yerusalema.
Maneno haya ni ya Muhubiri mwana wa Daudi, aliyekuwa mufalme kule Yerusalema.
Muhubiri anasema hivi: Bure, bure kabisa. Vyote ni bure.
Ninakuambia mimi Muhubiri, haya ndiyo niliyotambua nilipofanya uchunguzi wangu kidogokidogo.