Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Muhubiri 1:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Maneno haya ni ya Muhubiri mwana wa Daudi, aliyekuwa mufalme kule Yerusalema.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Muhubiri 1:1
13 Iomraidhean Croise  

Solomono alitawala inchi yote ya Israeli kwa miaka makumi ine.


Kwa kuhakikisha wazo lako, umejiwekea manabii katika Yerusalema kusudi watangaze kwamba kuna mufalme katika inchi ya Yuda. Maneno haya yataelezwa kwa mufalme Artasasta. Hivyo ninashauri kwamba wewe na mimi tukutane na kuzungumuzia jambo hili.


Ninataka kutimiza mapenzi yako, ee Mungu wangu; sheria yako ninaishika kwa moyo wangu wote!”


Hizi ni mezali za Solomono mwana wa Daudi mufalme wa Israeli.


Jasho lake linastahili kulipwa. Shuguli zake zinapaswa kuheshimiwa popote.


Mimi Muhubiri, nilikuwa mufalme wa Israeli, kule Yerusalema.


Ninakuambia mimi Muhubiri, haya ndiyo niliyotambua nilipofanya uchunguzi wangu kidogokidogo.


Roho wa Bwana wetu Yawe yuko pamoja nami, maana Yawe amenichagua, akanituma niwahubirie wanaoteswa habari njema, niwatunze waliovunjika moyo, niwatangazie waliohamishwa kwamba watapata uhuru, na wafungwa kwamba watafunguliwa.


Simama, uende Ninawe, ule muji mukubwa, uwatangazie watu ujumbe ninaokupa.


Mungu hakuhurumia dunia ya zamani, lakini alimulinda Noa, muhubiri wa haki, pamoja na watu wengine saba alipoleta mafuriko ya maji juu ya dunia ile ya waovu.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan