Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Marko 6:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Yesu akatoka kule, akaenda katika muji wake wa kuzaliwa, nao wanafunzi wake wakamufuata.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Marko 6:1
5 Iomraidhean Croise  

Alipokuwa akipanda mbegu katika shamba lake, zimoja zikaanguka pembeni ya njia, nao ndege wakakuja na kuzikula.


Kule akakaa katika muji ulioitwa Nazareti, kusudi yatimie maneno yaliyosemwa kwa njia ya manabii: “Ataitwa mutu wa Nazareti.”


Lakini Yesu akawaambia: “Nabii hakosewi heshima fasi zote, isipokuwa tu katika muji wake, katikati ya wandugu zake na katika jamaa yake.”


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan