Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Marko 3:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Yesu aliingia tena katika nyumba ya kuabudia. Na mule ndani mulikuwa mutu mumoja mwenye mukono unaokauka.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Marko 3:1
7 Iomraidhean Croise  

Mufalme Yeroboamu aliposikia maneno hayo ya mutu wa Mungu juu ya mazabahu kule Beteli, alinyoosha mukono akasema: “Mumukamate mutu yule!” Na mara moja ule mukono wake aliounyoosha, ukakauka, hakuweza tena kuukunja.


Yesu na wanafunzi wake walienda Kapernaumu. Siku ya Sabato ilipotimia, Yesu akaingia katika nyumba ya kuabudia na kufundisha watu.


Hivi akaenda fasi zote katika Galilaya, akihubiri katika nyumba za kuabudia na kufukuza pepo.


Ni kwa sababu hii, Mwana wa Mutu ndiye Bwana hata wa siku ya Sabato.”


Wagonjwa wengi walikuwa wakilala katika viingilio vile; kulikuwa vipofu, vilema na wenye kupooza. [Walikuwa wakingoja maji yatikiswe,


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan