Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Marko 2:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 “Ninakuamuru, simama, utwae kipoyi chako na uende kwako!”

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Marko 2:11
5 Iomraidhean Croise  

Yesu akamusikilia huruma, akanyoosha mukono, akamugusa na kumwambia: “Ninataka utakaswe!”


Basi, ninataka mujue kwamba Mwana wa Mutu yuko na mamlaka ya kusamehe zambi hapa katika dunia.” Kwa hiyo akamwambia yule mutu mwenye kupooza:


Na watu wote walipokuwa wakimwangalia mutu yule, pale pale akasimama, akatwaa kipoyi chake na kujiendea. Wote wakashangaa, wakamusifu Mungu, wakisema: “Hatujaona mambo kama haya hata mara moja!”


Roho ndiye anayeleta uzima; mwili hauwezi kufaa kitu. Maneno haya niliyosema nanyi, ndiyo Roho na uzima.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan