Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Marko 15:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Pilato akamwuliza Yesu: “Wewe ni Mufalme wa Wayuda?” Yesu akamujibu: “Umesema.”

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Marko 15:2
11 Iomraidhean Croise  

Nao wakauliza: “Yuko wapi yule mutoto aliyezaliwa kuwa mufalme wa Wayuda? Tumeona nyota yake inayomutambulisha, nasi tumekuja kumwabudu.”


Pilato akawauliza watu tena: “Basi munataka nifanye nini na huyu munayemwita Mufalme wa Wayuda?”


Kisha wakaanza kumusalimia, wakisema: “Jambo, Mufalme wa Wayuda!”


Na tangazo hili liliandikwa kwa kuonyesha sababu ya kuhukumiwa kwake. “Mufalme wa Wayuda.”


Nao wakubwa wa makuhani wakamushitaki Yesu juu ya mambo mengi.


Pilato akawajibu, akiwauliza: “Munataka niwafungulie ‘Mufalme wa Wayuda?’ ”


Mbele ya Mungu anayevipatia vitu vyote uzima, na mbele ya Kristo Yesu aliyetoa ushuhuda wa kweli mbele ya Pontio Pilato, ninakuagiza maneno haya:


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan