Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Maombolezo 1:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Unapokuwa sasa mabomoko matupu, Yerusalema unakumbuka utukufu wake. Ulipoangukia katika mikono ya waadui zake, hakuna aliyekuwa pale kwa kuusaidia. Washindi wake walichekelea kuanguka kwake.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Maombolezo 1:7
23 Iomraidhean Croise  

Heri ningekuwa kama zamani, wakati ule ambapo Mungu alinichunga,


Machozi ni chakula changu muchana na usiku; ninaambiwa kila siku: “Mungu wako yuko wapi?”


Wakati wa taabu ninamutafuta Bwana wetu; ninamunyooshea mikono yangu usiku bila kuchoka, lakini sifarijiwi na mutu yeyote.


Tunazarauliwa na mataifa jirani, jirani zetu wanatuchekelea na kutusimanga.


Nyumba yetu takatifu na nzuri, ambamo babu zetu walikusifu, imeteketezwa kwa moto. Pahali petu pote pazuri pamekuwa mabomoko.


Mbele ya hayo yote utajizuiza usifanye kitu? Utaendelea kunyamaza tu, ee Yawe, na kututesa kupita kipimo?


Yawe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Utamwambia mufalme wa Yuda hivi ambaye amekutuma uniombe kwa ajili yake: Waaskari wa Mufalme wa Misri waliokuja kukusaidia, wako karibu kurudia kwao Misri.


Ee Moabu, si ulimuchekelea Israeli! Ulimuhesabu kama mwenzake na wanyanganyi hata ukakuwa unatikisa kichwa chako kila mara uliposema juu yake.


Tulichoka kukaa macho kungojea musaada; tulikesha na kungojea kwa hamu taifa ambalo halikuweza kutuokoa.


Uwaambie Waamoni hivi: Musikilize neno la Bwana wetu Yawe: Ninyi mulifurahia kuona hekalu langu likichafuliwa, inchi ya Waisraeli ikiangamizwa na watu wa Yuda wakipelekwa katika uhamisho.


Bwana wetu Yawe anasema hivi: Kwa sababu mulipiga mikono, mukarukaruka kwa furaha na kushangilia sana juu ya inchi ya Waisraeli,


Mama yao amefanya uzinzi, aliyebeba mimba yao amefanya mambo ya haya. Alisema: Nitaambatana na wapenzi wangu, ambao wananipatia chakula na maji, nguo za sufu na kitani, pamoja na mafuta na divai.


Mataifa mengi yamekusanyika kwa kuwashambulia. Yanasema: Muache muji wao uchafuliwe, nasi tufurahie kuona uharibifu wa Sayuni!


Basi akaanza kufikiri yeye mwenyewe na kujisemesha: ‘Watumishi wote wa baba yangu wana vyakula kwa uwingi, nami huku ninakufa na njaa!


Lakini Abrahamu akamujibu: ‘Mutoto wangu, kumbuka kwamba umekwisha kupewa mema yaliyokupasa wakati ulipoishi katika dunia, na Lazaro alipata taabu. Na sasa yeye anatulizwa, lakini wewe unateswa.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan