Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Luka 4:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Halafu Shetani akamupeleka Yerusalema. Akamusimamisha juu sana kwenye pembe la hekalu na kumwambia: “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, ujitupe chini,

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Luka 4:9
7 Iomraidhean Croise  

Chumba cha sehemu ya kuingilia kilikuwa na urefu wa metre kenda, sawa na upana wa nyumba hiyo, na urefu kwenda juu metre makumi tano na ine. Kuta zake zilifunikwa kwa zahabu safi upande wa ndani.


Yawe akamwambia Shetani: “Basi, unaweza kumufanya vile unavyotaka, lakini usimwue tu.”


Halafu wakaanza kulalamika wakisema: “Kuna maneno gani kati yako na sisi wewe Mwana wa Mungu? Umekuja hapa kwa kututesa mbele ya kutimia kwa wakati wetu?”


kwa maana inaandikwa katika Maandiko Matakatifu: ‘Mungu atawaamuru wamalaika wake wakulinde.


Halafu Shetani akamufikia na kumwambia: “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, amuru jiwe hili ligeuke mukate.”


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan