Danieli 9:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Wewe, Bwana Mungu wetu, una huruma na musamaha, ingawa sisi tumekuasi. Faic an caibideil |
Kwa hiyo akaomba: Yawe, si hayo ndiyo mambo yaleyale niliyowaza utayafanya nilipokuwa katika inchi yangu? Ndiyo maana nilifanya haraka kukimbilia Tarsisi. Nilijua kwamba wewe ni Mungu ambaye umejaa huruma na rehema, haukasiriki upesi, wewe ni mwingi wa wema, na tayari kubadilisha nia yako kusudi usiazibu.