Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Danieli 9:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Katika mwaka Dario mufalme wa Wamedi mwana wa Ahasuero, alipoanza kutawala juu ya ufalme wa Wakaldea,

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Danieli 9:1
9 Iomraidhean Croise  

Kwa mwanzo wa utawala wa mufalme Ahasuero, waadui za watu waliokaa Yuda na Yerusalema wakaandika mashitaki juu yao.


Mufalme Ahasuero alipotawala ufalme wake ulikuwa na majimbo mia moja makumi mbili na saba, toka Uhindi mpaka Etiopia.


Danieli alidumu katika kazi ya nyumba ya mufalme mpaka mwaka wa kwanza wa utawala wa mufalme Kiro.


Mufalme alitaka vijana wasiokuwa na kilema, wazuri kwa umbo, wenye ujuzi wa kila hekima, wenye akili na maarifa na wanaofaa kwa kutumika katika nyumba ya kifalme. Alitaka vilevile vijana wale wafundishwe kusoma na kuandika luga ya Wakaldea.


Lakini kwa upande wangu mimi, katika mwaka wa kwanza wa utawala wa mufalme Dario wa Wamedi, nilijitoa kwa kumuimarisha na kumutia nguvu.


Naye mufalme Dario, wa inchi ya Wamedi, akatwaa utawala akiwa na umri wa miaka makumi sita na miwili.


Yeye anakomboa na kuokoa, anafanya miujiza na maajabu mbinguni na katika dunia, maana amemwokoa Danieli toka nguvu za simba.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan