Danieli 8:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Kwa hiyo yule beberu alijitukuza sana. Lakini alipofikia kilele cha nguvu zake, ile pembe yake kubwa ikavunjika. Pahali pake kukaota pembe ine zilizoonekana waziwazi, zikiwa zimeelekea pande ine za dunia. Faic an caibideil |