Danieli 7:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Nilipokuwa ninaziangalia hizo pembe, niliona pembe ingine ndogo ikiota katikati ya zile kumi, nayo ikaongoa pembe tatu kati ya hizo za kwanza. Pembe ile ilikuwa na macho ya kimutu na kinywa kilichosema maneno ya kujivuna. Faic an caibideil |