Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Danieli 5:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Basi, mufalme Belsasari akazidi kuhangaika na rangi yake ikazidi kugeuka, nao wakubwa wake wakakuwa na wasiwasi.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Danieli 5:9
12 Iomraidhean Croise  

Yawe alinguruma kutoka mbingu; Mungu Mukubwa akatoa sauti yake.


Lakini walipouona Sayuni, wakashangaa; wakashikwa na hofu na kukimbia.


Mujiulize sasa na kufahamu: Mwanaume anaweza kuzaa mutoto? Mbona basi, ninamwona kila mwanaume anajikamata kwenye kiuno kama mwanamuke anayesikia maumivu ya kuzaa na nyuso zimebadilika?


Waisraeli wanasema: Tumesikia habari zao. Kwa hiyo mikono yetu imeregea; tumeshikwa na huzuni na uchungu, kama mwanamuke anayezaa.


Hivyo, niliachwa peke yangu nikiangalia hayo maono ya kushangaza. Nguvu zikaniishia, na uso wangu ukabadilika rangi, nikabaki bila nguvu.


Katika mwaka wa pili wa utawala wake, mufalme Nebukadneza aliota ndoto. Na kwa hiyo roho yake ikahuzunika sana hata hakuweza kupata usingizi.


Basi, mufalme akabadilika rangi na kufazaika kwa ajili ya mawazo yaliyomufikia, viungo vyake vikaregea na magoti yakaanza kutetemeka.


Mufalme Herode aliposikia maneno haya, akafazaika sana pamoja na wakaaji wote wa Yerusalema.


Wafalme wa dunia, wakubwa, wakubwa wa waaskari, watajiri, wenye uwezo, na watu wengine wote, watumwa au wenye kuwa huru wakajificha katika mapango na katikati ya mawe ya milima.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan