Danieli 4:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200229 Utafukuzwa mbali na wanadamu! Utaishi pamoja na nyama wa pori, na utakula majani kama ngombe! Utakaa katika hali hiyo kwa miaka saba, na kwa mwisho utatambua kwamba Mungu Mukubwa ndiye mwenye uwezo juu ya falme za wanadamu, na anamupa ufalme mutu yeyote anayemutaka. Faic an caibideil |
Wewe utafukuzwa mbali na wanadamu. Utaishi pamoja na nyama wa pori, utakula majani kama ngombe; utalowana na umande wa mbinguni. Utakaa katika hali hiyo kwa miaka saba, na kwa mwisho utatambua kwamba Mungu Mukubwa ndiye anayetawala juu ya ufalme wa wanadamu naye anamupa ufalme ule mutu yeyote anayemutaka.