Danieli 2:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 kwamba musiponijulisha ndoto hiyo, azabu yenu ni moja. Mumepatana kunidanganyadanganya na kuniambia uongo kwa kungojea hali ibadilike. Muniambie ndoto hiyo, nami nitajua kwamba munaweza kunijulisha maana yake. Faic an caibideil |
“Watumishi wote wa mufalme na watu wote wa majimbo yote wanajua kwamba mutu yeyote yule akiingia katika kiwanja cha ndani na kumwona mufalme bila kuitwa, huyo anapaswa kuuawa. Anayeweza kuponyoka ni yule tu ambaye mufalme atamunyooshea fimbo yake ya zahabu kwa kumuponyesha. Na mimi sijaitwa na mufalme, yapata mwezi muzima sasa.”