7 Wao wakamujibu mara ya pili: Mufalme, utuelezee ndoto hiyo, nasi watumishi wako tutakufasiria maana yake.
Mutawala akikukasirikia, usiache kazi; makosa makubwa yanaweza kufutwa ukiwa munyenyekevu.
Wale Wakaldea wakamwambia mufalme katika luga ya Kiaramu: Uishi milele, ee mufalme! Utuelezee ndoto yako nasi watumishi wako tutakufasiria maana yake.
Halafu mufalme akawajibu akisema: Ninajua kweli kwamba munajaribu kupoteza wakati kwa maana munaona kwamba nilikwisha toa neno langu kamili,
kwamba musiponijulisha ndoto hiyo, azabu yenu ni moja. Mumepatana kunidanganyadanganya na kuniambia uongo kwa kungojea hali ibadilike. Muniambie ndoto hiyo, nami nitajua kwamba munaweza kunijulisha maana yake.
Nilipokuwa ninalala, niliona maono haya: Niliona muti murefu sana katikati ya dunia.