Danieli 2:49 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200249 Danieli akamwomba mufalme, naye mufalme akawaweka Sadiraki, Mesaki na Abedenego kuwa wasimamizi wa mambo ya utawala ya jimbo la Babeli. Lakini Danieli akabakia katika nyumba ya mufalme. Faic an caibideil |