Danieli 11:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Kisha mutoto mumoja wa ukoo wa huyo binti atakuwa mufalme. Huyo atayashambulia makundi ya waaskari wa mufalme wa kaskazini na kuingia katika miji yao yenye kuzungukwa na kuta na kushinda. Faic an caibideil |