Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Danieli 11:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Kwa kufanya mapatano, atayadanganya mataifa mengine, na ataendelea kupata nguvu ingawa atatawala taifa dogo.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Danieli 11:23
11 Iomraidhean Croise  

Basi, wana wa Yakobo wakamujibu Sekemu na baba yake Hamori kwa udanganyifu, kwa sababu Sekemu alikuwa amekwisha kumuchafua dada yao Dina.


Faida mwovu anayopata ni ya uongo, lakini anayetenda mema, hakika atapata faida.


Makundi ya waaskari pamoja na kuhani wa hekalu wataangamizwa na kuwaua.


Na kwa wakati wasiouwazia ataingia katika sehemu za jimbo zenye utajiri mwingi na kufanya mambo ambayo hayakufanyika hata na mumoja wa babu zake waliomutangulia. Kisha, atawagawanyia wafuasi wake mali na vitu alivyonyanganya katika vita. Atafanya mipango ya kuishambulia miji yenye kuta, lakini kwa muda tu.


Atakuwa mwenye mamlaka makubwa, atasababisha uharibifu mubaya sana, na atafanikiwa katika kila atakalotenda. Atawaangamiza watu wenye uwezo na watakatifu wa Mungu.


Kwa werevu wake, atafanikiwa katika mipango yake ya udanganyifu, naye atajitukuza. Atawaangamiza watu wengi sana, na atataka kupigana na Mukubwa wa wakubwa, lakini ataangamizwa pasipo kutumia nguvu za kimutu.


Wamejaa kila namna ya uovu, ubaya, tamaa na upotovu. Wamejaa wivu, uuaji, ugomvi, udanganyifu na ukorofi. Wao ni wenye kuchongeana,


Lakini ninaogopa kwamba sawa vile nyoka alivyomudanganya Eva kwa werevu wake, mawazo yenu vilevile yasipotoshwe hata mupate kupoteza uaminifu na ukamilifu wenu kwa Kristo.


Mwovu atakuja na uwezo wa Shetani na kufanya miujiza ya kila namna, vitambulisho na maajabu ya uongo.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan