Danieli 11:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Wana wa mufalme wa kaskazini watakusanya kundi kubwa la waaskari na kujitayarisha kwa vita. Kundi hilo litasonga mbele kama mafuriko ya maji litapita na kupigana vita mpaka ndani ya muji wenye kuta wa waadui. Faic an caibideil |