Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Danieli 10:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Mimi Danieli peke yangu niliona maono hayo. Wale watu waliokuwa pamoja nami hawakuyaona, lakini walishikwa na hofu sana, wakakimbia, wakajificha.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Danieli 10:7
8 Iomraidhean Croise  

Naye akamujibu: “Nilisikia sauti yako katika bustani, nikaogopa maana nilikuwa uchi. Nikajificha.”


Muingie chini ya jiwe, mujifiche katika mavumbi, kwa kuepuka kitisho cha Yawe, mbali na mwangaza wa utukufu wake.


Mutu anaweza kujificha pahali pa siri hata nisiweze kumwona? –Ni ujumbe wa Yawe!– Hamujui kwamba niko kila pahali, katika mbingu na katika dunia? –Ni ujumbe wa Yawe!–


Wewe mwanadamu, kula chakula na kunywa maji yako ukitetemeka kwa hofu.


Watu waliokuwa pamoja nami wakaona mwangaza ule, lakini hawakusikia sauti ya yule aliyekuwa akinisemesha.


Nao watu waliosafiri pamoja na Saulo wakasimama na kubaki kimya kwa ajili ya mushangao, kwa maana walisikia sauti lakini hawakuona mutu.


Na mambo yale yaliyoonekana yalikuwa ya kuogopesha sana, hata Musa akasema: “Ninaogopa na kutetemeka!”


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan