Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Danieli 1:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Basi, Mungu akamujalia Danieli kupendelewa na kuhurumiwa na Aspenazi, yule mukubwa.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Danieli 1:9
14 Iomraidhean Croise  

Naye akamwuliza: “Jina lako nani?” Yeye akamujibu: “Yakobo.”


Yawe alikuwa pamoja na Yosefu na kumutendea mema, hata kumufanya apate kukubaliwa mbele ya mukubwa wa kifungo.


Uwasamehe watu wako zambi walizotenda mbele yako na uasi wao, uwahurumie mbele ya waadui zao, kusudi nao wapate kuwahurumia,


Ee Bwana, usikilize maombi yangu mimi mutumishi wako na ya watumishi wako wanaofurahia kukutii wewe. Ninakuomba unifanikishe leo, mimi mutumishi wako, na kunijalia kuhurumiwa na mufalme.” Mimi nilikuwa na madaraka ya kumupa mufalme kinywaji.


Halafu mufalme Artasasta akanijibu: “Sasa unaomba nini?” Nikamwomba Mungu wa mbinguni.


Hegayi akapendezwa na Esteri hata kiasi cha kumupendelea. Bila kupoteza wakati, akamupa Esteri mafuta na chakula. Vilevile, akamuhamishia pahali pazuri kabisa katika nyumba hiyo ya wanawake, akamuchagulia wajakazi saba kutoka nyumba ya mufalme.


Lakini Mungu anawaokoa wayatima wasiuawe, anawaponyesha wakosefu toka katika mikono ya wenye nguvu.


Hivyo wamasikini wanapata tumaini, nao uovu unakomeshwa.


Aliwafanya wale waliowaangamiza wawaonee huruma.


Ninyi watu, mpaka wakati gani mutachafua jina langu? Mpaka wakati gani mutapendelea mambo ya ovyo na kusema uongo?


Yawe akipendezwa na mwenendo wa mutu, anawageuza hata waadui zake kuwa warafiki.


Lakini, mukubwa yule akamwambia Danieli: Ninaogopa kwamba bwana wangu mufalme ambaye ametoa maagizo juu ya chakula na kinywaji unavyopaswa kutumia, ataona kwamba afya yako si nzuri kama ya wenzako wa umri wako. Hivyo maisha yangu yatakuwa katika hatari.


akamwokoa toka katika taabu yote aliyopata. Mungu akamujalia neema, apate kupendwa na Mufalme wa Misri na kuonekana kuwa mwenye hekima mbele yake. Mufalme yule akamuweka kuwa musimamizi wa inchi yake na wa nyumba yake yote.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan