Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Danieli 1:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Lakini, mukubwa yule akamwambia Danieli: Ninaogopa kwamba bwana wangu mufalme ambaye ametoa maagizo juu ya chakula na kinywaji unavyopaswa kutumia, ataona kwamba afya yako si nzuri kama ya wenzako wa umri wako. Hivyo maisha yangu yatakuwa katika hatari.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Danieli 1:10
5 Iomraidhean Croise  

Kuogopa watu ni kujitega mwenyewe, lakini anayemutumainia Yawe yuko salama.


Halafu Danieli akamwendea mutumishi aliyewekwa na mukubwa yule kwa kumulinda yeye na wenzake watatu Hanania, Misaeli na Azaria, akamwambia:


Basi, Mungu akamujalia Danieli kupendelewa na kuhurumiwa na Aspenazi, yule mukubwa.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan