Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




1 Samweli 9:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Saulo akamujibu: “Hilo ni jambo zuri; basi, tuende.” Hivyo, wakaenda kwenye muji mutu yule wa Mungu alimokuwa anakaa.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




1 Samweli 9:10
4 Iomraidhean Croise  

Baba mudogo wa Saulo alipowaona Saulo na mutumishi, akawauliza: “Mulikuwa wapi?” Saulo akajibu: “Tulikwenda kuwatafuta punda, na tulipoona hawapatikani, tulikwenda kumwona Samweli.”


Walipokuwa wanapanda mulima kuelekea katika muji, wakakutana na wabinti waliokuwa wakienda kuteka maji. Wakawauliza wabinti wale: “Mwonaji yuko katika muji?”


(Hapo zamani katika Israeli kama mutu akitaka kumwomba Mungu shauri, alisema: “Basi, kuja, kuja tuende kwa mwonaji.” Maana mutu anayeitwa nabii siku hizi hapo zamani aliitwa mwonaji).


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan