Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




1 Samweli 16:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Umwalike Yese kwenye sadaka hiyo nami nitakuonyesha la kufanya. Utamupakaa mafuta kwa ajili yangu mutu yule nitakayekutajia.”

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




1 Samweli 16:3
10 Iomraidhean Croise  

Abusaloma alipokwenda kule Hebroni, alikwenda na watu mia mbili aliowaalika kutoka Yerusalema, nao walikwenda kule kwa nia njema, wala hawakujua kitu chochote juu ya mupango wa Abusaloma.


Halafu umuruhusu kuhani Zadoki na nabii Natani wamupakae mafuta akuwe mufalme wa Israeli. Kisha mupige baragumu na kusema: ‘Mufalme Solomono aishi!’


Basi, wazee wote wa Waisraeli wakamwendea mufalme kule Hebroni; naye Daudi akafanya agano nao mbele ya Yawe, halafu wakamupakaa Daudi mafuta akuwe mufalme wa Waisraeli kulingana na neno la Yawe lililotolewa kwa njia ya Samweli.


Wewe utaongea naye na kumwambia yote atakayosema. Mimi nitawasaidia na kuwafundisha mambo mutakayofanya.


Lakini simama, uingie katika muji, na mule watakuambia jambo unalopaswa kufanya.”


“Kesho, wakati kama huu, nitakuletea mutu kutoka inchi ya kabila la Benjamina, nawe utamupakaa mafuta kuwa mutawala wa watu wangu Waisraeli. Yeye atawaokoa watu wangu kutoka kwa Wafilistini, maana nimeyaona mateso ya watu wangu na kilio chao kimenifikia.”


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan