Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




1 Samweli 13:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Saulo alikuwa na umri wa miaka alipoanza kuwa mufalme. Na alitawala Waisraeli kwa muda wa miaka miwili.]

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




1 Samweli 13:1
4 Iomraidhean Croise  

Mwana-kondoo yule asikuwe na kilema chochote, akuwe dume wa mwaka mumoja. Anaweza kuwa mwana-kondoo au mwana-mbuzi.


Nimwendee Yawe na kitu gani, nipate kumwabudu Mungu anayekuwa juu? Nimwendee na sadaka za kuteketezwa kwa moto, nimutolee mwana-ngombe wa mwaka mumoja?


Lakini kama mukiendelea kutenda maovu, mutaangamia ninyi wenyewe pamoja na mufalme wenu.”


Saulo aliwachagua Waisraeli elfu tatu. Kati yao, elfu mbili alikuwa nao kule Mikimasi na katika inchi ya milima ya Beteli. Elfu moja aliwaweka kule Gibea katika eneo la Benjamina. Hao aliwaweka chini ya uongozi wa mwana wake Yonatani. Watu wengine wote waliobakia, aliwarudisha, kila mutu kwake.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan