Online Bible

- Advertisements -




Marko 2:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Na wakati walimu wa Sheria wa kikundi cha Wafarisayo walipomwona Yesu akikula pamoja na watu wale, wakawauliza wanafunzi wake: “Kwa sababu gani anakula pamoja na walipishaji wa kodi na watenda mabaya?”

See the chapter Copy




Marko 2:16

Follow us:

Advertisements


Advertisements