Online Bible

- Advertisements -




Esteri 4:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 “Watumishi wote wa mufalme na watu wote wa majimbo yote wanajua kwamba mutu yeyote yule akiingia katika kiwanja cha ndani na kumwona mufalme bila kuitwa, huyo anapaswa kuuawa. Anayeweza kuponyoka ni yule tu ambaye mufalme atamunyooshea fimbo yake ya zahabu kwa kumuponyesha. Na mimi sijaitwa na mufalme, yapata mwezi muzima sasa.”

See the chapter Copy




Esteri 4:11

Follow us:

Advertisements


Advertisements