Online Bible

- Advertisements -




Danieli 6:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Wale wakubwa pamoja na maliwali wakatafuta kisingizio cha kumushitaki Danieli juu ya mambo ya ufalme, lakini hawakuweza kupata sababu ya kumushitaki, wala kosa lolote, maana Danieli alikuwa mwaminifu. Hakupatikana na kosa, wala ubaya wowote.

See the chapter Copy




Danieli 6:5

Follow us:

Advertisements


Advertisements