Danieli 5:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 Basi, vile vyombo vya zahabu na feza vilivyokamatwa katika hekalu kule Yerusalema vikaletwa. Mufalme, wakubwa wake, wanawake wake na wahabara wake wakavitumia kwa kunywea. See the chapter |