Online Bible

- Advertisements -




Danieli 2:35 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

35 Mara moja chuma, udongo wa mufinyanzi, shaba, feza na zahabu, vyote vikavunjika vipandevipande na vikakuwa kama maganda kwenye nafasi ya kupepetea ngano wakati wa jua. Upepo ukavipeperushia mbali wala hakukubakia hata kipande kimoja. Lakini lile jiwe lililoivunja ile sanamu likageuka kuwa mulima mukubwa na kuijaza dunia yote.

See the chapter Copy




Danieli 2:35

Follow us:

Advertisements


Advertisements