Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Yoshua 9:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 waliamua kutumia werevu. Wakatayarisha vyakula, wakapakiza magunia yaliyochakaa juu ya punda wao, vibuyu vilivyochakaa na kushonwa.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Yoshua 9:4
12 Σταυροειδείς Αναφορές  

Basi, wana wa Yakobo wakamujibu Sekemu na baba yake Hamori kwa udanganyifu, kwa sababu Sekemu alikuwa amekwisha kumuchafua dada yao Dina.


Nimekunjamana kama mufuko wa ngozi katika moshi, hata hivyo sijasahau masharti yako.


“Muangalie! Ninawatuma kama kondoo katikati ya imbwa wa pori. Basi mukuwe waangalifu kama nyoka na wakamilifu kama njiwa.


Vilevile hawatii divai mupya ndani ya machupa ya ngozi yenye kuzeeka. Wakifanya vile yale machupa yanapasuka, halafu divai inamwangika, nayo machupa yanapotea bure. Lakini inafaa kutia divai mupya ndani ya machupa mapya ya ngozi, navyo vyote vinalindwa vizuri.”


Vilevile hakuna mutu anayetia divai mupya ndani ya machupa ya ngozi yenye kuzeeka. Kama akifanya vile, ile divai mupya itapasua machupa yale yenye kuzeeka, nayo divai na machupa vyote vinapotea bure. Lakini inafaa kutia divai mupya ndani ya machupa mapya ya ngozi.”


Basi bwana wa yule mulinzi akamusifu kwa sababu alitenda kwa werevu. Kwa maana watu wa dunia hii wanatengeneza maneno yao na wenzao kwa werevu sana kuliko watu wanaopenda kuishi katika mwangaza.”


Angalia mikate yetu ambayo ilikuwa bado moto tulipoibeba wakati tulipoondoka kwetu, lakini sasa imekauka na kuota manyoya.


Vibuyu hivi tulivijaza maji vikiwa vipya, lakini sasa vimepasukapasuka. Hata nguo na viatu vyetu vimechakaa, maana safari ilikuwa ndefu sana.”


Lakini wakaaji wa Gibeoni walipopata habari juu ya jinsi Yoshua alivyoitendea miji ya Yeriko na Ai,


Wakavaa viatu, nguo zilizochakaa na vyakula vyao vyote vilikuwa vimekauka na kuota manyoya.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις