Vilevile hawatii divai mupya ndani ya machupa ya ngozi yenye kuzeeka. Wakifanya vile yale machupa yanapasuka, halafu divai inamwangika, nayo machupa yanapotea bure. Lakini inafaa kutia divai mupya ndani ya machupa mapya ya ngozi, navyo vyote vinalindwa vizuri.”
Vilevile hakuna mutu anayetia divai mupya ndani ya machupa ya ngozi yenye kuzeeka. Kama akifanya vile, ile divai mupya itapasua machupa yale yenye kuzeeka, nayo divai na machupa vyote vinapotea bure. Lakini inafaa kutia divai mupya ndani ya machupa mapya ya ngozi.”
Basi bwana wa yule mulinzi akamusifu kwa sababu alitenda kwa werevu. Kwa maana watu wa dunia hii wanatengeneza maneno yao na wenzao kwa werevu sana kuliko watu wanaopenda kuishi katika mwangaza.”