Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Yoshua 9:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

27 Lakini kutokea siku hiyo, Yoshua akawafanya hao kuwa wakata - kuni na wachota - maji kwa ajili ya Waisraeli wote na kwa ajili ya mazabahu ya Yawe, popote pale Yawe alipochagua mpaka hivi leo.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Yoshua 9:27
9 Σταυροειδείς Αναφορές  

Mufalme Solomono akawahesabu wageni wote waliokuwa katika inchi ya Israeli. Hesabu hii ni kama ile Daudi baba yake aliyofanya. Kulikuwa wageni yapata elfu mia moja makumi tano na tatu na mia sita.


Kisha kutokana na lile fungu la waaskari waliokwenda kwa vita, tenga sehemu ya kumi kwa ajili ya Yawe: kitu kimoja kutoka kila vitu mia tano, ikuwe ni watu, ngombe, punda, kondoo au mbuzi,


Kutoka katika lile fungu la jamii nzima, utwae mumoja kati ya kila makumi tano, ikuwe ni watu, ngombe, punda, kondoo na mbuzi. Hivyo utawapa Walawi ambao wanashugulika na kazi katika hema la Yawe.


Kutoka nusu hii Waisraeli waliyopewa, Musa alitwaa mumoja kati ya kila mateka makumi tano na nyama makumi tano, kama alivyoamriwa na Yawe, akawapa Walawi ambao walitumika katika hema la Yawe.


basi huko pahali Yawe, Mungu wenu, atakapochagua kusudi jina lake likae pale, hapo mutapeleka yote ninayowaamuru: sadaka zenu za kuteketeza kwa moto na sadaka zingine, sehemu ya kumi za mazao yenu, na sadaka za kutimiza kiapo.


lakini pahali ambapo Yawe atakapopachagua katika kabila moja kati ya makabila yenu, hapo ndipo pahali mutakapotolea sadaka zenu za kuteketezwa na ni hapo mutakapofanyia mambo mengine yote ambayo nimewaamuru mufanye.


Lakini mutakwenda pahali ambapo Yawe, Mungu wenu, atachagua katika makabila yote kwa kuweka jina lake na makao yake hapo. Huko ndiko mutakakokwenda.


Muwaache waishi.” Hivyo Wagibeoni wakakuwa wanatumikia Waisraeli wakiwakatia kuni na kuwachotea maji, kama viongozi wa Waisraeli walivyosema.


Basi, jambo Yoshua alilowatendea ni kuwaokoa toka katika mikono ya Waisraeli kusudi wasiwaue.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις