Yoshua 6:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200225 Lakini yule kahaba Rahabu pamoja na watu wote wa nyumba ya baba yake, Yoshua akayaokoa maisha yao. Rahabu akaishi kati ya Waisraeli mpaka leo, kwa sababu aliwaficha wajumbe ambao Yoshua aliwatuma kwenda kuupeleleza muji wa Yeriko. Δείτε το κεφάλαιο |