Biblia Todo Logo
Διαδικτυακή Βίβλος

- Διαφημίσεις -




Yoshua 24:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Nao wakamuzika kwenye eneo ambalo alikuwa amegawanyiwa kuwa sehemu yake, kule Timunati-Sera, katika milima ya Efuraimu, upande wa kaskazini wa mulima wa Gasi.

Δείτε το κεφάλαιο αντίγραφο




Yoshua 24:30
6 Σταυροειδείς Αναφορές  

Benaya wa muji Piratoni; Hidayi wa vijito vya Gasi;


Kulingana na amri ya Yawe walimupa muji ambao aliuchagua yeye mwenyewe, ni kusema Timunati-Sera, ambao ulikuwa katika inchi ya milima ya Efuraimu. Naye Yoshua akaujenga upya muji ule na kukaa mule.


Nyuma ya mambo hayo, Yoshua mwana wa Nuni na mutumishi wa Yawe, akakufa akiwa na umri wa miaka mia moja na kumi.


Kulikuwa mutu mumoja kule katika milima ya Efuraimu, jina lake Mika.


Kutoka kule wakaelekea inchi ya milima ya Efuraimu, wakafika katika nyumba ya Mika.


Wakamuzika katika sehemu aliyogawanyiwa ikuwe yake kule Timunati-Heresi, katika inchi ya milima ya Efuraimu upande wa kaskazini wa mulima Gasi.


Ακολουθησε μας:

Διαφημίσεις


Διαφημίσεις