Yoshua 22:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200231 Naye Finehasi mwana wa kuhani Eleazari, akayaambia makabila ya Rubeni na Gadi na nusu ya kabila la Manase: “Leo tumejua kwamba Yawe yuko kati yenu maana hamukumufanyia Mungu uasi. Sasa mumewaokoa Waisraeli wasiazibiwe na Yawe.” Δείτε το κεφάλαιο |